Siku zilizopita tuliangala wanyama watano ambao hutambulika kama big five.Wiki hii tutawatazama wanyama wadogo wote hasa tutaanza na baboon.Watu wa mbugani humwita sharobaro kutokana na mwendo wake wa madaha mtazame huyu hapa
Home
Archives for May 2014
Sunday, May 11, 2014
Tuesday, May 6, 2014
Tumtazame nyati na tabia zake
✔
online library
Diterbitkan 10:50:00 AM
Tags
Tumtazame nyati au mbogo kwa kifupi' Wengi humwita mbogo na kweli anatisha ukimuuzi.Mnyama huyu kwa jina zuri waweza mwita ng'ombe pori anasifa na ufanano kama wa ng'ombe.
Nyati ana urefu wa 140-170sm
Pia uzito wa dume ni 785kg jike anauzito wa,715kg Nyati anatunza mimba miezi 11 Anauwezo wa kuzaa mtoto mmoja tu na si zaidi Pia anauwezo wa kuishi miaka 23
MAKUNDI YAO 1)Gregarsus& 2)Teritorial home range fuatana nami katika page hii ili upate kujua maisha yake kuzaliwa hadi kufa
Monday, May 5, 2014
Mfahamu mnyama kifaru au faru kama wengine mnavyomwita
✔
online library
Diterbitkan 7:58:00 AM
Tags
Kifaru ni miongoni wa wanyama watano wanaounda kundi la BIG FIVE ONA SIFA ZAKE Anaurefu wa sm 135-230 na anatunza mimba mda wa miezi 15
MAKUNDI YAO Kama ilivyo kwa wanyama wengine kifaru wapo katika makundi haya mawili 1)Solitary group 2)Cals group
MAKAZI YAO Wanapatikana maeneo ya WOODLAND
AINA ZA HAWA FARU 1)Faru weupe ambao hupatikana Afrika ya kusini na North-werst Uganda 2)Faru Weusi hawa hupatikana tanzania na kenya.
TUTAKUJA ANGALIA MATUMIZI YA PEMBE YA FARU Bara la Asia waliamini pembe ya Faru hasa uloto wake kuwasaidia nguvu za kiume je kwa Tanzania na Nchi nyingine hutumiaje? usikose kufuatilia mada hii
Huyu ni kifaru |
Mtazame chui akiwa amekaa juu ya mti akiangalia windo.
✔
online library
Diterbitkan 6:37:00 AM
Tags
Swali: unajua chui huwinda usiku.Sababu gani hufanya awindi mda huo? Pia kwanini akiuwa mnyama mla nyama hali nyama yake? unajua jina wamwitalo watu wa mbugani? kama simba huitwa sharubu chui je? Fuatana nami kujua maisha ya chui kwenye website hii kila siku.
Chui akiwa kwenye mti akiangalia windo
Mjue chui
Chui akiwa kwenye mti akiangalia windo
Mjue chui
REPRODUCTION Jike hutunza mimba mda wa siku 105-110 na anauwezo wa kuzaa watoto wawili hadi wanne na si zaidi.
BAREHE YAO Dume hubarehe akiwa na umri wa mwaka mmoja wakati jike hubarehe atimizapo umri wa mwaka 1.5.watoto wa chui huanza kula nyama watimizapo umri wa miezi sita
UMRI WA KUISHI Chui huwa na uwezo wa kuishi miaka 15-18 kama hajapatwa na maradhi
UWINDAJI Hatua ambazo hutumia Simba ndizo azitumiazo Chui.Kama ulinifuatilia kwenye Simba nazani ushazifaham
MAKUNDI YAO 1) Family 2)Mating pear
SEHEMU WANAKOPATIKANA Jihadhari maeneo haya unapokuwa mbugani 1)Misitu minene 2)vichakani 3) Maeneo yaliyojificha
UZITO WAO Jike anauzito wa kg 60-75 Dume anauzito wa 90kg
SPEED ZAO Chui hukimbia umbali wa 112km kwa saa huyu anaweza akama mnyama mwenye mbio za ajabu. Kama unafuatilia website hii nitakuja kupa tofauti ya chui na duma wengi hushindwa kutofUtisha
Thursday, May 1, 2014
Sheria za National Park
✔
online library
Diterbitkan 5:28:00 AM
Tags
Wengi hunipigia simu kutaka ufafanuzi hasa ya watu wanaoishi mbugani inakuwaje?
Edward Mtega |
1)kuchukua mabaki ya wanyama kama mavi ya tembo,fuvu,nk 2)kuwapa wanyamapori vyakula anavyokula bibadamu mfano:kumpa nyani ndizi,pipi ni kosa la jinai 3)kupiga kelele hasa unapokuwa mbugani au kupiga honi za magari ni kosa unaweza fanya wanyama kupaniki 4)kwenda na pikipiki au na wanyama wa kufugwa hairuhusiwi 5)kuwasha moto 6)kula au kuwinda wanyama pori ukishikwa utaratibu unaufahamu 7)huruhusiwi kutembea mbugani au kuokota au kurina au kuvua samaki pasipo kibari maalumu, kwa kifupi mtakuwa mmeelewa sheria za park
Picha hii nimekaa na huyu masai anaitwa maimbura yeye na masai mwenzake anaitwa kijangwaa ni masai waweza sema wa ajabu kwani hufika mda hucheza na tembo kitu ambacho si cha kawaida pia wamenusurika na simba mara,nyingi.Wageni huwapenda na hata bosi wao! tukipata mda nitawasimulia mikasa ya hawa jamaa
Subscribe to:
Posts (Atom)