Swali: unajua chui huwinda usiku.Sababu gani hufanya awindi mda huo? Pia kwanini akiuwa mnyama mla nyama hali nyama yake? unajua jina wamwitalo watu wa mbugani? kama simba huitwa sharubu chui je? Fuatana nami kujua maisha ya chui kwenye website hii kila siku.
Chui akiwa kwenye mti akiangalia windo
Mjue chui
REPRODUCTION Jike hutunza mimba mda wa siku 105-110 na anauwezo wa kuzaa watoto wawili hadi wanne na si zaidi.
BAREHE YAO Dume hubarehe akiwa na umri wa mwaka mmoja wakati jike hubarehe atimizapo umri wa mwaka 1.5.watoto wa chui huanza kula nyama watimizapo umri wa miezi sita
UMRI WA KUISHI Chui huwa na uwezo wa kuishi miaka 15-18 kama hajapatwa na maradhi
UWINDAJI Hatua ambazo hutumia Simba ndizo azitumiazo Chui.Kama ulinifuatilia kwenye Simba nazani ushazifaham
MAKUNDI YAO 1) Family 2)Mating pear
SEHEMU WANAKOPATIKANA Jihadhari maeneo haya unapokuwa mbugani 1)Misitu minene 2)vichakani 3) Maeneo yaliyojificha
UZITO WAO Jike anauzito wa kg 60-75 Dume anauzito wa 90kg
SPEED ZAO Chui hukimbia umbali wa 112km kwa saa huyu anaweza akama mnyama mwenye mbio za ajabu. Kama unafuatilia website hii nitakuja kupa tofauti ya chui na duma wengi hushindwa kutofUtisha