Kifaru ni miongoni wa wanyama watano wanaounda kundi la BIG FIVE ONA SIFA ZAKE Anaurefu wa sm 135-230 na anatunza mimba mda wa miezi 15
MAKUNDI YAO Kama ilivyo kwa wanyama wengine kifaru wapo katika makundi haya mawili 1)Solitary group 2)Cals group
MAKAZI YAO Wanapatikana maeneo ya WOODLAND
AINA ZA HAWA FARU 1)Faru weupe ambao hupatikana Afrika ya kusini na North-werst Uganda 2)Faru Weusi hawa hupatikana tanzania na kenya.
TUTAKUJA ANGALIA MATUMIZI YA PEMBE YA FARU Bara la Asia waliamini pembe ya Faru hasa uloto wake kuwasaidia nguvu za kiume je kwa Tanzania na Nchi nyingine hutumiaje? usikose kufuatilia mada hii
![]() |
Huyu ni kifaru |
EmoticonEmoticon