Millionaire  Ads

Monday, May 5, 2014

Mfahamu mnyama kifaru au faru kama wengine mnavyomwita

Tags

Kifaru ni miongoni wa wanyama watano wanaounda kundi la BIG FIVE ONA SIFA ZAKE Anaurefu wa sm 135-230 na anatunza mimba mda wa miezi 15

MAKUNDI YAO Kama ilivyo kwa wanyama wengine kifaru wapo katika makundi haya mawili 1)Solitary group 2)Cals group 

MAKAZI YAO Wanapatikana maeneo ya WOODLAND 

AINA ZA HAWA FARU 1)Faru weupe ambao hupatikana Afrika ya kusini na North-werst Uganda 2)Faru Weusi hawa hupatikana tanzania na kenya.

 TUTAKUJA ANGALIA MATUMIZI YA PEMBE YA FARU Bara la Asia waliamini pembe ya Faru hasa uloto wake kuwasaidia nguvu za kiume je kwa Tanzania na Nchi nyingine hutumiaje? usikose kufuatilia mada hii 
Huyu ni kifaru



EmoticonEmoticon