Millionaire  Ads

Thursday, July 31, 2014

Jipatie blog hii bure kabisa na uanze kupata mapato mazuri

Tags
Ndugu msomaji wa tovuti hii kama unavutiwa na huduma hii ya kuelezea tabia za wanyama pori, ndege na viumbe vingine kama mimea basi unaweza kupata pesa za ziada muda ambao unakuwa huru. Tovuti ni biashara nzuri kwani haina hasara na huhitaji pesa kuanza biashara hii.

Wapo walioacha kazi na kujiariji kwenye tovuti hata wewe unaweza. Ukipenda kuendeleza habari za utalii wa wanyama pori basi hapa ndipo mahala pako
Unaweza kuwa unahamu ya kuanza kuandika makala zako muda huu basi ingia kwenye forum yetu kisha andika topic itakayoonesha unataka kumiliki tovuti hii nasi tutakujibu na kukupokea muda huo huo Bonyeza hapa

Mapato yote yatokanayo na matangazo ni yako.

Sunday, May 11, 2014

Tuwatazame wanyama wadogo wadogo kama nyani

Tags
Siku zilizopita tuliangala wanyama watano ambao hutambulika kama big five.Wiki hii tutawatazama wanyama wadogo wote hasa tutaanza na baboon.Watu wa mbugani humwita sharobaro kutokana na mwendo wake wa madaha mtazame huyu hapa

Tuesday, May 6, 2014

Tumtazame nyati na tabia zake

Tags


Tumtazame nyati au mbogo kwa kifupi' Wengi humwita mbogo na kweli anatisha ukimuuzi.Mnyama huyu kwa jina zuri waweza mwita ng'ombe pori anasifa na ufanano kama wa ng'ombe.

Nyati ana urefu wa 140-170sm

Pia uzito wa dume ni 785kg jike anauzito wa,715kg Nyati anatunza mimba miezi 11 Anauwezo wa kuzaa mtoto mmoja tu na si zaidi Pia anauwezo wa kuishi miaka 23 

MAKUNDI YAO 1)Gregarsus& 2)Teritorial home range fuatana nami katika page hii ili upate kujua maisha yake kuzaliwa hadi kufa

Monday, May 5, 2014

Mfahamu mnyama kifaru au faru kama wengine mnavyomwita

Tags
Kifaru ni miongoni wa wanyama watano wanaounda kundi la BIG FIVE ONA SIFA ZAKE Anaurefu wa sm 135-230 na anatunza mimba mda wa miezi 15

MAKUNDI YAO Kama ilivyo kwa wanyama wengine kifaru wapo katika makundi haya mawili 1)Solitary group 2)Cals group 

MAKAZI YAO Wanapatikana maeneo ya WOODLAND 

AINA ZA HAWA FARU 1)Faru weupe ambao hupatikana Afrika ya kusini na North-werst Uganda 2)Faru Weusi hawa hupatikana tanzania na kenya.

 TUTAKUJA ANGALIA MATUMIZI YA PEMBE YA FARU Bara la Asia waliamini pembe ya Faru hasa uloto wake kuwasaidia nguvu za kiume je kwa Tanzania na Nchi nyingine hutumiaje? usikose kufuatilia mada hii 
Huyu ni kifaru


Mtazame chui akiwa amekaa juu ya mti akiangalia windo.

Tags
Swali: unajua chui huwinda usiku.Sababu gani hufanya awindi mda huo? Pia kwanini akiuwa mnyama mla nyama hali nyama yake? unajua jina wamwitalo watu wa mbugani? kama simba huitwa sharubu chui je? Fuatana nami kujua maisha ya chui kwenye website hii kila siku.


Chui akiwa kwenye mti akiangalia windo

Mjue chui 
REPRODUCTION Jike hutunza mimba mda wa siku 105-110 na anauwezo wa kuzaa watoto wawili hadi wanne na si zaidi. 

BAREHE YAO Dume hubarehe akiwa na umri wa mwaka mmoja wakati jike hubarehe atimizapo umri wa mwaka 1.5.watoto wa chui huanza kula nyama watimizapo umri wa miezi sita 

UMRI WA KUISHI Chui huwa na uwezo wa kuishi miaka 15-18 kama hajapatwa na maradhi 

UWINDAJI Hatua ambazo hutumia Simba ndizo azitumiazo Chui.Kama ulinifuatilia kwenye Simba nazani ushazifaham 

MAKUNDI YAO 1) Family 2)Mating pear 

SEHEMU WANAKOPATIKANA Jihadhari maeneo haya unapokuwa mbugani 1)Misitu minene 2)vichakani 3) Maeneo yaliyojificha 

UZITO WAO Jike anauzito wa kg 60-75 Dume anauzito wa 90kg 

SPEED ZAO Chui hukimbia umbali wa 112km kwa saa huyu anaweza akama mnyama mwenye mbio za ajabu. Kama unafuatilia website hii nitakuja kupa tofauti ya chui na duma wengi hushindwa kutofUtisha

Thursday, May 1, 2014

Sheria za National Park

Tags

Wengi hunipigia simu kutaka ufafanuzi hasa ya watu wanaoishi mbugani inakuwaje?
Edward Mtega
nimependa swali hilo kabla ya kuwajibu naombeni muwe mnatoa maoni humu kwenye blog hii itasaidia sana: UFAFANUZI Leo niwaelezee camp ya tandala iliyopo national park ya luaha mkoani iringa.Camp hii hadi sasa inamiaka 12 na zaidi ni camp pekee ambayo inawafanyakazi wa jinsia zote wakati camp nyingine huchukua wafanyakazi wa kiume tu.Kutokana na sifa ya camp hii ya tandala wageni wengi kutoka bara la ulaya,asia na america huja kwa wingi kutokana na sababu zifuatazo: kwanza: mahema bora na yenye viwango vya kimataifa ambayo ndani kuna maji ya moto,solar,vitabu,choo,bafu,pamoja na madirisha yenye uundo wa neti ya zipu inayoruhusu kumwona mnyama akipita. Pili:gari za imara za kuwatembeza wageni pamoja na matoure guide waliobobea katika masuala ya pori Tatu:working safari utalii wa miguu ndani ya mbuga mgeni akiwa anaongozana na masai kwa ulinzi wake hii watalii hupenda hasa siku wanapokaribia kuondoka huomba kwenda kwenye maboma ya umasaini: Ushauri kama umefanikiwa kwenda kutarii jihadhali na vitu vifuatavyo:

1)kuchukua mabaki ya wanyama kama mavi ya tembo,fuvu,nk 2)kuwapa wanyamapori vyakula anavyokula bibadamu mfano:kumpa nyani ndizi,pipi ni kosa la jinai 3)kupiga kelele hasa unapokuwa mbugani au kupiga honi za magari ni kosa unaweza fanya wanyama kupaniki 4)kwenda na pikipiki au na wanyama wa kufugwa hairuhusiwi 5)kuwasha moto 6)kula au kuwinda wanyama pori ukishikwa utaratibu unaufahamu 7)huruhusiwi kutembea mbugani au kuokota au kurina au kuvua samaki pasipo kibari maalumu, kwa kifupi mtakuwa mmeelewa sheria za park






Picha hii nimekaa na huyu masai anaitwa maimbura yeye na masai mwenzake anaitwa kijangwaa ni masai waweza sema wa ajabu kwani hufika mda hucheza na tembo kitu ambacho si cha kawaida pia wamenusurika na simba mara,nyingi.Wageni huwapenda na hata bosi wao! tukipata mda nitawasimulia mikasa ya hawa jamaa






Sunday, April 27, 2014

Mbinu zinazotumika na simba kupambana na adui

Tags
Kesho tutatazama njinsi mbinu azitumiazo simba kupambana na adui na mbinu utakazo tumia wewe kupambana naye!:----

Friday, April 25, 2014

Do you love this animal

Tags

Ungana nami kumjua tembo na tabia zake

Tags
Hebu tazama majabu ya mnyama tembo ambaye ni mnyama mwenye thamani nyingi mwilini mwake mfano: tembo hutunza mimba ndani ya miezi 22 sawa na miaka 2 pia mtoto wake huanza kula atimizapo dakika 45 toka azaliwe tembo anafuata uzazi wa mpango kivipi? Baada ya kujifungua hukaa mda wa miaka mitano ndipo huzaa tena!je hujawahi jiuliza kwa nini tembo hutembea kimakundi makundi tena wakiwa wamejitenga kijinsia? ni hivi tembo wanaongozwa na tembo jike mwenye umri kati ya miaka 45-50 na huongoza kundi lote na yeye hupewa jukumu la kuongozana na watoto na kutoa tarifa kama kunahatari mbeleni . Utajuaje tembo kama kachukia? 1)kwanza husugua ardhi kwa hasira na kutoa mrio mkari 2]hufungua masikio kwa kasi Pia tembo anasikio lenye 20kg ma anapofungua na kufunga masikio husaidia kupoza damu Mkonga wa tembo! tembo dume mkonga wake unauwezo wa kutunza lita 17za maji na jike hutunza maji lita 14 katika mkonga wake. Mguu watembo una mfupa wenye angle 45 degree ambao unasupport by cattalaged partcussion.ndomana akitembea husikii kishindo chochote.

Makazi yake anapatikana maeneo ya savana kwenye uoto wa miyombo na maeneo ya vichakavichaka! Mlo wake Tembo ni mnyama pekee ambaye hula kg 300 per day huyu dume na jike hula kg150 per day pia hula aina kama 200 za majani,magamba,mbegu,matunda na mizizi, katika masaa 24 hupumzika saa moja tu napo huenda kuoga au kunywa maji pia mkonga wa tembo dume unauwezo wa kutunza au kubeba lita 17 huyu dume na jike hubeba lita 14 za maji katika mkonga wake Je wajua matumizi ya mkonga wa tembo? fuatana nami keshokutwa ufaidi'

Chameleon

Tags

Poaching in Tanzania

Tags

Poaching

Tags

Hifadhi ya wanyama ya Ruaha Tanzania

Tags
Jifunze Maisha ya simba kwa kufuatilia makala hii Na mwandishi wetu Edward Mtega

Katika hifadhi ya Ruaha yakadiliwa kuwa na simba zaidi ya 500.ni hifadhi yenye simba wengi kuliko hifadhi zote tanzania.Sharubu nu jina ambalo limezoleka lengo ni kuwafumba watarii hasa ture guide anapo muliza toure guide fulani wapi simba wanapatika au leo kunasehem yeyote kaua?Hapa mgeni hawezi tambua chochote au kujua mbinu anazotumia tour guide kumpata mahali alipo simba.Kesho tutaelezea reproduction,ureaji,umiriki himaya yake,family confrict zao vyanzo vyake umri wa kuishi na kukabiriana naye ukimkuta pasipo tegemea' fuatilia somo la kesho

Kuna msemo usemao simba akikosa nyama hula majani! hi si kweli na ukiona simba kala jani jua jani hilo ni mhimu sana na jike ndiye mhusika jani hilo hula kwa lengo la abotion! wengi watauriza kwa nini afanye abotion? ok!

tunaendelea juu ya maisha ya simba simba dume akipata jike toka famila nyingine kama alikuwa na watoto dume huua wale madume na kuacha simba jike watoto.Huwauwa madume kwa hofu ya kuja pinduliwa baadae.

Kwa nini simba hula jani la kutoa mimba? hufanya hivyo kutokana na amri ya dume mpya mmiliki.Ndipo hutokea msemo simba akikosa nyama hula majani hii si kweli jamani huo msemo haumanishi kama mnavyofikiri.Kwa wanaoishi mbugani au waliolala walau siku moja mbugani nazani washasikia simba akinguruma.Kiukweli sauti ya simba inatisha kama akiunguruma mbali utazani yupo mgongoni mwako.Pia simba huunguruma kwa mda wa asubuhi na jioni ndani ya himaya yake asisogee mtu au mnyama yeyote au simba mwingine aliye nje na familia.

Tazama maajabu ya mnyama simba katika sex.Sikuzote katika wanyama wa porini madume ndiyo mahendsome majike hujipendekeza kwa madume sasa tumtazame simba katika sex: Simba jike humuandalia windo nono kwa sex kamili.Pia hufanya mapenzi kwa mda wa siku tatu mfululizo kama ifuatavyo: 1,)siku ya kwanza hufanya mapenzi dakika 45 tu ndani ya masaa 24 ndani ya dakika15 humwaga mabao hapo huitwa kapizi 2)siku ya pili hufanya mapenzi dakika25 ndani ya masaa24 3)siku ya tatu hufanya mapenzi dakika15 ndani yamasaa24 ikumbuke simba hawapandani kama mbuzi au ng'ombe simba jike hulala vizuri chini dume humpigia magoti kwa kumpa penzi simba anapo mwaga bao hupiga kelele za mlevi wa pombe ya machicha aliyejipiga kitanzi cha waya wa umeme.Bila kusahau simba hula kilo zaidi ya150 za nyama na simba dume uzito wake ni 200-250kg jike 130-135kg.Sasa tutazame bada ya sex hiyo hutokea nini? nifuate..

sikuzote mnyama au kiumbe chochote kisichokuwa na matatizo kikifanya sex katika mda unaostahili huzaa au kuzalisha.Sasa baada ya ufanyaji sex simba hufanikiwa kuzaa watoto watatu hadi sita na si zaidi! baada ya kushika mimba ndani ya siku110 katika kitendo hicho watoto wa simba huacha kunyonya baada ya miezi minne na hapo huanza kufundishwa jinsi ya kuwinda. Tazama simba hubalehe atimizapo mda wa miaka3-4 huyu jike wakati dume huwahi barehe afikishapo mwaka1-1.5 Ndipo huanza kuitwa sharubu mana huwa na miemuko na ugomvi ndani na nje ya familia.

Kwa hali hii dume huyu hutengwa au kufukuzwa aende akatafute maisha au familia.watu hujiuliza kwa nini simba dume huonekana na mdume wengine kimakundi? hapa jibu lake simba hawa huitwa solitary ikimanisha wametengwa na familia zao.Hi ni kwa wanyama wote hutokea hata kwa nyani,twiga,tembo,swala nk ukikutana na kundi hili la solitary mara nyingi kusalimika ni mara chache hasa baboon au tembo huwa na asila sana.Kesho tutangalia solitary group jinsi wanavyomiliki familia.

Sikuzote katika jamii yako ukiwa na hali isiyoamusha maendeleo hutengwa na kuzalauriwa: Basi hali hii hata kwa wanyama ipo hasa wnyama pori: TUTAZAME SABABU ZIFANYAZO MNYAMA KUTENGWA NA WENZIE 1)ulemavu hii tutokea hasa kwa simba kama itatokea simba fulani kilema hasa dume hutengwa kutokana hawezi kuhudumia familia yake hivyo huuwawa au kutengwa na famili au ukoo moja kwa moja 2)uzee hipia husababishwa kutengwa hasa tembo utakuta dume lipo peke yake linakula hata kundi la tembo wenzake wakiita hawmpi saport yeyote! omba usikutana na kundi hili la sokwe au baboon hili kama mwanamke unabakwa kwa mwanaume yaweza kimbia au mkakabiliana nalo.Swali kuna marefu yasiyo na ncha? ok!kesho tutazungumzia jinsi hawa wanyama wanavyorudi kundini fuatana nami kesho mchana..

Animals in Tanzania

Tags


Thursday, April 24, 2014

We are friends with the giraffe

Tags

The buffalo

Tags

The male lion

Tags

Friday, April 18, 2014

The lion

Tags